HAZINA YA MASWALI(STIKA:maumbile au jaala ya kimaumbile.)
-
kwa mtazamao wa Kiislamu, mwanaadamu ni kiumbe gani?
11333 2012/05/26 Elimu mpya ya AkidaKwa mtazamo wa Qur-ani mwanaadamu ni kiumbe aliyebeba sifa mbili tofauti za kimaumbile moja ni ile inayotokana na maumbile aliyopewa tokea mwanzo kutoka kwa Mola wake nayo ni maumbile ya kiroho na ya